sw_jos_text_reg/02/14.txt

1 line
172 B
Plaintext

\v 14 Wanaume wakamjibu, "maisha yetu kwa ajili ya yenu, hata kifo! Kama hamtasema habari zetu, na Yahweh akisha kutupa nchi hii, tutakuwa wenye huruma na waaminifu kwenu."