sw_jos_text_reg/15/63.txt

1 line
154 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 63 Lakini kwa Wayebusi, wenyeji wa Yerusalemu, kabila la Yuda halikuweza kuwafukuza, na hivyo, Wayebusi wanaishi pamoja na kabila la Yuda hadi leo hii.