Wed Oct 19 2022 11:42:40 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
4e76c99bb6
commit
88684eee02
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 16 Bwana ataunguruma kutoka Sayuni, na kuinua sauti yake kutoka Yerusalemu. Mbingu na nchi zitatikisika, lakini Bwana atakuwa makao kwa ajili ya watu wake, na ngome kwa wana wa Israeli. \v 17 Kwa hiyo mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana, Mungu wenu, anayeishi Sayuni, mlima wangu mtakatifu. Kisha Yerusalemu itakuwa takatifu, na hakuna jeshi litaklozunguka tena.
|
||||
\v 16 Bwana ataunguruma kutoka Sayuni, na kuinua sauti yake kutoka Yerusalemu. Mbingu na nchi zitatikisika, lakini Bwana atakuwa makao kwa ajili ya watu wake, na ngome kwa wana wa Israeli. \v 17 Kwa hiyo mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana, Mungu wenu, anayeishi Sayuni, mlima wangu mtakatifu. Kisha Yerusalemu itakuwa takatifu, na hakuna jeshi litakalozunguka tena.
|
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 18 Katika siku hiyo, milima itatayarisha divai nzuri, milima itatiririsha maziwa, miito yote ya Yuda itapita katikati ya maji, na chemchemi zitakuja kutoka nyumba ya Bwana na maji ya bonde la Shitimu. \v 19 Misri itakuwa ukiwa, na Edomu itakuwa jangwa tupu, kwa sababu ya vurugu iliyofanyika kwa watu wa Yuda, kwa sababu walimwaga damu isiyo na hatia katika nchi yao.
|
||||
\v 18 Katika siku hiyo, milima itatayarisha divai nzuri, milima itatiririsha maziwa, mito yote ya Yuda itapita katikati ya maji, na chemchemi zitakuja kutoka nyumba ya Bwana na maji ya bonde la Shitimu. \v 19 Misri itakuwa ukiwa, na Edomu itakuwa jangwa tupu, kwa sababu ya vurugu iliyofanyika kwa watu wa Yuda, kwa sababu walimwaga damu isiyo na hatia katika nchi yao.
|
|
@ -72,6 +72,9 @@
|
|||
"03-09",
|
||||
"03-11",
|
||||
"03-12",
|
||||
"03-14"
|
||||
"03-14",
|
||||
"03-16",
|
||||
"03-18",
|
||||
"03-20"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue