sw_job_text_reg/35/12.txt

1 line
283 B
Plaintext

\v 12 Huko wanalia, lakini Mungu hawajibu kwasababu ya kibriu ya watu waovu. \v 13 Kwa hakika Mungu hatasikia kilio cha kipumbavu; Mwenye nguvu wala hatajali. \v 14 Ni kwa namna gani atakujibu ikiwa unasema haumwoni, na ya kwamba hoja yako iko mbele yake, na ya kuwa unamngojea yeye!