sw_job_text_reg/07/13.txt

1 line
226 B
Plaintext

\v 13 Hapo nisemapo, 'kitanda changu kitanifariji, na malazi yangu yatatuliza manung'uniko yangu,' \v 14 halafu unitishapo kwa ndoto na kunitisha kwa maono, \v 15 ili nichague kunyongwa na kufa kuliko kulinda mifupa yangu hii.