sw_job_text_reg/04/20.txt

1 line
177 B
Plaintext

\v 20 Kati ya asubuhi na jioni wameangamizwa; wameangamia milele wala bila yeyote kuwatambua. \v 21 Je kamba za hema yao hazikung'olewa kati yao? Wanakufa; wanakufa bila hekima.