sw_job_text_reg/03/15.txt

1 line
176 B
Plaintext

\v 15 Au Ningelikuwa nimelala pamoja na wakuu wenye dhahabu, waliozijaza nyumba zao fedha. \v 16 Au pengine ningekuwa sijazaliwa, kama watoto wachanga wasio uona mwanga kabisa.