sw_job_text_reg/03/06.txt

1 line
193 B
Plaintext

\v 6 Usiku huo, na ukamatwe na giza tororo. Usihesabiwe miongoni mwa siku za mwaka; na usiwekwe katika hesabu ya miezi. \v 7 Tazama, usiku huo na uwe tasa; na sauti ya shangwe isiwe ndani yake.