sw_job_text_reg/03/04.txt

1 line
210 B
Plaintext

\v 4 Siku hiyo na iwe giza; Mungu toka juu asiifikilie, wala mwanga usiiangazie. \v 5 Ishikwe na giza na giza la mauti liwe lake. Wingu na likae juu yake; kila kitu kiifanyacho siku kuwa giza kweli na kiitishe.