sw_job_text_reg/08/11.txt

1 line
160 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 11 Je miti ya mafunjo yaota pasipo matope? Je mafunjo yaota pasipo maji? \v 12 Wakati yakiwa bado ya kijani na hayajakatwa, hunyauka kabla ya mmea mwingine.