sw_jhn_text_reg/04/53.txt

1 line
214 B
Plaintext

\v 53 Ndipo baba yake akatambua kuwa ni muda ule ule Yesu aliosema, "Mwana wako ni mzima." Hivyo yeye na familia yake wakaamini. \v 54 Hii ilikuwa ni ishara ya pili aliyoifanya Yesu alipotoka Yudea kwenda Galilaya.