sw_jhn_text_reg/04/39.txt

1 line
239 B
Plaintext

\v 39 Wasamaria wengi katika mji ule walimwani kwa sababu ya taarifa ya yule mwanamke aliyekuwa akishuhudia, "Aliyeniambia mambo yote niliyoyafanya." \v 40 Hivyo Wasamaria walipokuja walimsihi akae pamoja nao na akakaa kwao kwa siku mbili.