sw_jhn_text_reg/01/46.txt

1 line
359 B
Plaintext

\v 46 Nathanaeli akamwambia, "Je kitu chema chaweza kutokea Nazareti?" Filipo akamwambia, Njoo na uone." \v 47 Yesu akamwona Nathanaeli akija kwake na akasema, "Tazama, Mwisraeli kamili asiye na udanganyifu ndani yake!" \v 48 Nathanaeli akamwambia, "Wanifahamuje mimi?" Yesu akajibu na akamwambia, "Kabla Filipo hajakuita ulipokuwa chini ya mtini, nalikuona."