sw_jhn_text_reg/01/12.txt

1 line
215 B
Plaintext

\v 12 Bali kwa wale wote waliompokea,walioamini katika jina lake,aliwapa kibali ya kuwa wana wa Mungu, \v 13 Hawa walizaliwa sio kwa damu, wala kwa mapenzi ya mwili, wala kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu mwenyewe.