sw_jhn_text_reg/17/22.txt

1 line
303 B
Plaintext

\v 22 Utukufu ule ulionipa mimi - nimewapa wao, ili kwamba waweze kuwa kitu kimoja, kama vile sisi tulivyo kitu kimoja - \v 23 Mimi ndani yao, nawe ndani yangu, ili waweze kukamilishwa katika umoja; ili ulimwengu ujue kuwa hakika wewe ndiye uliyenituma, na kuwapenda, kama vile wewe ulivyonipenda, mimi.