sw_jhn_text_reg/13/01.txt

1 line
323 B
Plaintext

\c 13 \v 1 Sasa kabla ya sikukuu ya pasaka, kwa sababu Yesu alifahamu kuwa saa yake imefika ambayo atatoka katika dunia hii kwenda kwa baba, akiwa amewapenda watu wake ambao walikuwa duniani, aliwapenda mpaka mwisho. \v 2 Ikawa tayari ibilisi alikuwa amewaka katika moyo wa Yuda Isikariote, mwana wa simoni, kumsaliti Yesu.