sw_jhn_text_reg/12/37.txt

1 line
211 B
Plaintext

\v 37 Ingawa Yesu alifanya ishara nyingi namna hiyo mbele yao, bado hawakumwamini \v 38 ili litimie neno la nabii Isaya, alilosema: "Bwana, ni nani aliyezisadiki habari zetu? Na mkono wa Bwana amefunuliwa nani?"