sw_jhn_text_reg/11/47.txt

1 line
258 B
Plaintext

\v 47 Ndipo wakuu wa Makuhani na Mafarisayo wakakusanyika pamoja katika baraza na kusema, "Tutafanya nini? Mtu huyu anafanya ishara nyingi. \v 48 Ikiwa tutamwacha hivi peke yake, wote watamwamini; Warumi watakuja na kuchukua vyote mahali petu na taifa letu."