sw_jhn_text_reg/09/01.txt

1 line
198 B
Plaintext

\c 9 \v 1 Sasa wakati Yesu alipokuwa akipita, alimwona mtu kipofu tangu kuzaliwa kwake. \v 2 Wanafunzi wake wakamwuliza, "Rabi, nani aliyetenda dhambi, mtu huyu au wazazi wake, hata azaliwe kipofu?"