sw_jhn_text_reg/06/07.txt

1 line
322 B
Plaintext

\v 7 Filipo akamjibu, "Hata mikate ya thamani ya dinari mia mbili isingelitosha hata kila mmoja kupata hata kipande kidogo." \v 8 Andrea, mmoja wa wanafunzi wake ndugu yake Simoni Petro akamwambia \v 9 Yesu, "Kuna mvulana hapa ana mikate mitano ya shayiri na samaki wawili, lakini hii yafaa nini kwa watu wengi namna hii?"