sw_jhn_text_reg/05/43.txt

1 line
229 B
Plaintext

\v 43 Nimekuja kwa jina la Baba yangu, hamukuweza kunipokea. Kama mwingine akija kwa jina lake mngempokea. \v 44 Je mnawezaje kuamini ninyi ambao mnapokea sifa wenyewe kwa wenyewe lakini hamtafuti sifa itokayo kwa Mungu wa pekee?