sw_jhn_text_reg/05/12.txt

1 line
207 B
Plaintext

\v 12 Wakauliza, "Ni nani aliyekuambia 'Chukua godoro lako na uende?''' \v 13 Hata hivyo, yule aliyeponywa hakumjua, kwa sababu Yesu alikuwa ameondoka kwa siri. Kwa kuwa kulikuwa na umati katika sehemu hiyo.