sw_jhn_text_reg/04/41.txt

1 line
224 B
Plaintext

\v 41 Na wengi zaidi wakamwamini kwa sababu ya neno lake. \v 42 Wakamwambia yule mwanamke, "Tunaamini sio tu kwa maneno yako, kwa sababu sisi wenyewe tumesikia, na sasa twafahamu kuwa hakika huyu ndiye mwokozi wa ulimwengu."