sw_jhn_text_reg/04/28.txt

1 line
227 B
Plaintext

\v 28 Hivyo mwanamke akauacha mtungi wake wa maji na akaenda mjini na akawambia watu, \v 29 "Njooni mwone mtu aliyeniambia mambo yangu yote niliyoyatenda, je yawezekana akawa ndiye Kristo?" \v 30 Wakatoka mjini wakaja kwa Yesu.