sw_jhn_text_reg/04/17.txt

1 line
197 B
Plaintext

\v 17 Yule mwanamke akamwambia, "Sina mume." Yesu akajibu, "Umesema vyema, 'Sina mume;' \v 18 kwa maana ushakuwa na wanaume watano, na hata ambaye unaye sasa sio mume wako. Ambalo umelisema kweli!"