sw_jhn_text_reg/03/29.txt

1 line
224 B
Plaintext

\v 29 Bibi arusi ni wa Bwana arusi. Sasa rafiki wa bwana arusi, asimamaye na kusikiliza hufurahia sana kwa sababu ya sauti ya bwana arusi. Hii sasa ni furaha yangu iliyotimilika. \v 30 Anapaswa kuzidi, nami napaswa kupungua.