sw_jhn_text_reg/01/49.txt

1 line
349 B
Plaintext

\v 49 Nathanaeli akajibu, "Rabi wewe u Mwana wa Mungu! Wewe ni Mfalme wa Israeli"! \v 50 Yesu akajibu akamwambia, Kwa sababu nilikuambia 'nilikuona chini ya mtini' je waamini? utaona matendo makubwa kuliko haya." \v 51 Yesu akasema, "Amini amini nawambieni mtaziona mbingu zikifunguka, na kuwaona malaika wakipanda na kushuka juu ya Mwana wa Adamu."