\v 12 Wakauliza, "Ni nani aliyekuambia 'Chukua godoro lako na uende?''' \v 13 Hata hivyo, yule aliyeponywa hakumjua, kwa sababu Yesu alikuwa ameondoka kwa siri. Kwa kuwa kulikuwa na umati katika sehemu hiyo.