\v 3 Wakati walipoishiwa na divai, mama yake Yesu akamwambia, "Hawana divai." \v 4 Yesu akajibu, "Mwanamke,kwa nini wanijia mimi? Muda wangu mimi bado haujatimia." \v 5 Mama yake akawambia watumishi, "Chochote atakachowambia fanyeni."