sw_jer_text_reg/10/01.txt

1 line
201 B
Plaintext

\v 1 "Sikilizeni neno ambalo BWANA anawaambieni, enyi nyumba ya Israeli. \v 2 BWANA asema hivi, 'msijifunze njia za mataifa, na msishangazwe na ishara za mbinguni, kwa kuwa mataifa hushangazwa na haya.