sw_jer_text_reg/07/16.txt

1 line
433 B
Plaintext

\v 16 Na wewe, Yeremia, usiwaombee watu hawa, na usiinue maombolezo ya kilio au kuomba sala kwa niaba yao, na usinishi, kwa kuwa sitakusikiliza. \v 17 Kwani huoni kile wanachofanya katika miji ya Yuda na katika mitaa ya Yerusalemu? \v 18 Watoto wanakusanya kuni na baba zao huwasha moto! Wanawake hukanda unga ili kuoka mikate kwa ajili ya malikia wa mbinguni na kumimina sadaka ya vinywaji kwa miungu mingine ili kunikasirisha mimi.