sw_jer_text_reg/05/30.txt

1 line
211 B
Plaintext

\v 30 Jambo la ajabu na la kuchukiza limetokea katika nchi hii. \v 31 Mananbii wanatabiri kwa uongo, na makuhani wanatwala kwa msaada wa wa hao. Watu wangu wanapenda mambo ya hivyo, lakini mwisho kitatokea nini?