sw_jer_text_reg/04/21.txt

1 line
227 B
Plaintext

\v 21 Vita hivi vitaendelea mpaka lini? Ni mpaka lini nitasikiliza sauti za pembe? \v 22 Kwa kuwa upumbavu wa watu wangu - hawanijui mimi. Ni watu wajinga wasio na ufahamu. Wanaufahamu wa mambo maovu, tena hawajui kutenda mema.