sw_jer_text_reg/04/07.txt

1 line
337 B
Plaintext

\v 7 Simba anakuja kutokea kwenye kichaka chake na yeye atakayeyaharaibu mataifa ameanza kuja. Anaondoka kwenye eneo lake ili aache hofu katika nchi yenu, kuibadili miji yenu kuwa uharibifu, ambapo hakuna hata mmoja atakayeishi. Kwa sababu hii vaeni magunia, lieni na kuomboleza. \v 8 Kwa kuwa nguvu ya hasira ya BWANA haijaondoka kwetu.