sw_jer_text_reg/01/09.txt

1 line
236 B
Plaintext

\v 9 Kisha BWANA akanyosh mkono wake, akagusa kinywa changu, na akaniambia, "Nimeweka maneno yangu kinywani mwako. \v 10 Nimekuchagua leo juu ya mataifa na juu ya mataifa, ili kung'oa na kuvunja, kuharibu na kutupa, kujenga na kupanda."