sw_jer_text_reg/01/07.txt

1 line
205 B
Plaintext

\v 7 Lakini BWANA akaniambia, "Usiseme, 'mimi ni mtoto.' Utaenda kila mahali ninapokutuma, na utasema kila kitu ninachokuamuru! \v 8 Usiwaogpe hao, kwa kuwa Mimi niko pamoja na wewe kukuokoa- asema BWANA."