sw_jer_text_reg/01/04.txt

1 line
241 B
Plaintext

\v 4 Neno la BWANA lilinijia, likisema, \v 5 "kabla sijakuumba tumboni, Nilikuchagua; kabla hujazailiwa toka tumboni Nilikutenga; Nilikufanya kuwa nabii kwa mataifa." \v 6 "Ahaa, BWANA!" Nilisema, "mimi sijui kusema, kwa kuwa mimi ni mtoto."