sw_jer_text_reg/19/10.txt

1 line
341 B
Plaintext

\v 10 Kisha utavunja chupa ya udongo mbele ya watu ambao walikwenda pamoja nawe. \v 11 Uwaambie,'Bwana wa majeshi asema hivi: nitafanya jambo hili kwa watu hawa na mji huu- hii ndiyo ahadi ya Bwana, kama vile Yeremia alivyovunja chupa ya udongo ili isiweze kutengenezwa tena. Watu watazika wafu huko Tofethi hata hapatabaki mahali pa kuzika.