sw_jer_text_reg/06/06.txt

1 line
431 B
Plaintext

\v 6 Kwa kuwa Bwana Mungu wa majeshi asema hivi: Kateni miti yake, na tengenezeni vifusi vya kuitekea Yerualemu. Huu ndio mji sahihi kuteka, kwa sababu umejaa ukandamizaji. \v 7 Kama vile kisima kitoavyo maji, vivyo hivyo mji huu uzaavyo uovu. Uharibifu na jeuri vimesikika kwake. Mateso na tauni viko mbele yangu daima. \v 8 Uadhibishwe, ee Yerusalemu, vingenevyo nitaondoka kwako na kukufanya ukiwa, na nchi isiyokaliwa na watu.