sw_jer_text_reg/38/24.txt

1 line
419 B
Plaintext

\v 24 Kisha Sedekia alisema kwa Yeremia, "Usimjulishe yeyote kuhusu maneno haya, ili kwamba usije kufa. \v 25 Kama maafisa wanasikia kwamba nimeongea na wewe- kama wanakuja na kusema kwako, 'Tuambie umezungumza nini pamoja na mfalme. Usitufiche, au tutakuua. Na tuambie nini mfalme amesema kwako'- \v 26 kisha unapaswa kusema nao, "Nilishawishiana pamoja na mfalme asirudi kwangu kwa nyumba ya Yonathani nitakufa humo."