sw_jer_text_reg/32/01.txt

1 line
320 B
Plaintext

\c 32 \v 1 Neno likaja kwa Yeremia kutoka kwa Yahwe katika mwaka wa kumi wa Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwaka wa kumi na nane wa Nebukadreza. \v 2 Katika wakati huo, jeshi la mfalme wa Babeli lilikuwa limezunguka Yerusalemu, na Jeremia nabii alikuwa amefungwa katika uwanja wa walinzi katika nyumba ya mfalme wa Yuda.