sw_jer_text_reg/34/04.txt

1 line
307 B
Plaintext

\v 4 Sedekia mfalme wa Yuda, sikiliza neno la Yahwe! Yahwe anasema hivi kuhusu wewe, 'Hautakufa kwa upanga. \v 5 Utakufa katika amani. Kama kwenye mafukizo ya babu zako, wafalme waliokuwepo kabla yako, watauchoma mwili wako. Watasema, 'Ole, bwana!" Watakuomboleza. Sasa nimesema—hili ni tangazo la Yahwe."