sw_jer_text_reg/31/31.txt

1 line
345 B
Plaintext

\v 31 Angalia, siku zinakuja—hili ni tangazo la Yahwe—nitakapoanzisha agano jipya pamoja na nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda. \v 32 Halitakuwa kama agano ambalo nilianzisha na baba zao nilipowatoa kwa mkono wao nje ya nchi ya Misiri. Hizo zilikuwa siku ambapo walilivunja agano langu, ingawa nilikuwa mume kwao—hili ni tangazo la Yahwe.