sw_jer_text_reg/31/15.txt

1 line
187 B
Plaintext

\v 15 Yahwe anasema hivi: "Sauti imesikika katika Rama, kilio na maombolezo mengi. Ni Raheli akiomboleza kwa ajili watoto wake. Hataki kufarijiwa tena juu yao, kwa maana hawako hai tena."