sw_jer_text_reg/49/12.txt

6 lines
703 B
Plaintext

<<<<<<< HEAD
\v 12 Maana Yahwe asema hivi, "Tazama, wasiostahili ni lazima wanywe sehemu ya kikombe. Je mnadhani mtaachwa bila kuhadhibiwa? Hapana, maana hakika mtakunywa. \v 13 Maana nimekwisha apa kwangu mimi mwenyewe--asema Yahwe--Hiyo Bozra itakuwa hofu, aibu, magofu, na kitu cha laana. Miji yake yote itakuwa magofu daima.
=======
\v 12 Maana Yahwe asema hivi, "Tazama, wasiostahili ni lazima wanywe sehemu ya kikombe. Je mnadhani mtaachwa bila kuadhibiwa? Hapana, maana hakika mtakunywa. \v 13 Maana nimekwisha apa kwangu mimi mwenyewe - asema Yahwe - Hiyo Bozra itakuwa hofu, aibu, magofu, na kitu cha laana. Miji yake yote itakuwa magofu daima.
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113