6 lines
703 B
Plaintext
6 lines
703 B
Plaintext
<<<<<<< HEAD
|
|
\v 12 Maana Yahwe asema hivi, "Tazama, wasiostahili ni lazima wanywe sehemu ya kikombe. Je mnadhani mtaachwa bila kuhadhibiwa? Hapana, maana hakika mtakunywa. \v 13 Maana nimekwisha apa kwangu mimi mwenyewe--asema Yahwe--Hiyo Bozra itakuwa hofu, aibu, magofu, na kitu cha laana. Miji yake yote itakuwa magofu daima.
|
|
=======
|
|
\v 12 Maana Yahwe asema hivi, "Tazama, wasiostahili ni lazima wanywe sehemu ya kikombe. Je mnadhani mtaachwa bila kuadhibiwa? Hapana, maana hakika mtakunywa. \v 13 Maana nimekwisha apa kwangu mimi mwenyewe - asema Yahwe - Hiyo Bozra itakuwa hofu, aibu, magofu, na kitu cha laana. Miji yake yote itakuwa magofu daima.
|
|
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113
|