sw_jer_text_reg/49/03.txt

6 lines
885 B
Plaintext

<<<<<<< HEAD
\v 3 Piga kelele kwa maombolezo, Heshboni, maana Ai utaangamizwa! Piga kelele, Binti za Raba! jifungeni kwa nguo za magunia. Ombolezeni na kukimbia kwa kuchanganyikiwa, maana Moleki anakwenda utumwani, pamoja na makuhani na viongozi wake. \v 4 Kwa nini mnajivunia mabonde yenu, mabonde yenu yaliyoshamiri? Mabonde yenu yatakwisha, binti wasioamini, ninyi mnaotumaini utajiri wenu na . mwasema, "Nani atakayekuja kinyume changu?'
=======
\v 3 Piga kelele kwa maombolezo, Heshboni, maana Ai utaangamizwa! Piga kelele, Binti za Raba! Vaeni nguo za magunia. Ombolezeni na kukimbia kwa kuchanganyikiwa, maana Moleki anakwenda matekani, pamoja na makuhani na viongozi wake. \v 4 Kwa nini mnajivunia nguvu zenu? Nguvu zenu zitakwisha, binti wasioamini, ninyi mnaotumaini utajiri wenu. Mwasema, "Nani atakayekuja kinyume changu?'
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113