sw_jer_text_reg/51/13.txt

1 line
268 B
Plaintext

\v 13 Enyi mwishio kati ya chemchemi nyingi za maji, ninyi mlio na wingi wa hazina, mwisho wenu umefika. upindo wa maisha yenu umepunguzwa. \v 14 Yahwe Mungu wa majeshi ameapa kwa maisha yake, 'nitakujaza na watu, kama pigo la nzige; watainua kelele za vita juu yako.'