sw_jer_text_reg/02/12.txt

1 line
268 B
Plaintext

\v 12 Sitaajabuni, enyi mbingu kwa sababu ya hili! Tetemekeni na kuogopa -asema BWANA. \v 13 Kwa kuwa watu wangu wametenda maovu mawili dhidi yangu: Wameziacha chemichemi za maji ya uhai kwa kuchimba mabIrika kwa ajili yao, mabirika yanayovuja yasiyoweza kutunza maji!