sw_jer_text_reg/32/38.txt

1 line
334 B
Plaintext

\v 38 Kisha watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao. \v 39 Nitawapa moyo mmoja na njia moja ya kuniheshimu kila siku ili kwamba yawepo mema kwa ajili yao na uzao wao baada yao. \v 40 Kisha nitafanya pamoja nao agano la milele, ili nisiache kufanya mema kwa ajili yao. nitajiwekea heshima katika mioyo yao, ili kwamba wasiniache.