sw_jer_text_reg/27/08.txt

1 line
281 B
Plaintext

\v 8 Kwa hiyo taifa na ufalme ambo haumtumikii Nebukadneza, mfalme wa Babeli, na ule usioweka shingo yake chini ya nira ya Nebukadneza mfalme wa Babeli—nitaliadhibu taifa hilo kwa upanga, njaa, na pigo—hili ni tangazo la Yahwe—hadi nitakapokuwa nimewateketeza kwa mkono wake.